Habari JF,nime chaguliwa bachelor degree in biology chuo cha udom naomba kujua niki soma hiyo kozi baadae nta kuwa nani? au nta weza fanya kazi gani kulingana na hii kozi. Mawazo yenu muhim sana
Ndoto kweli hubadilika kutokana na nyakati....hivi wakati ulikua mtoto ulitamani kuja kuwa nani vile.....ajabu bado unasomea vitu hata hujui utakua nani