Hata ukiandikiwa na dr dawa, google upate info zake.tumia keywords contraindications of. . . . dose in pregnancy. Utajiweka salama zaidi.
Hongera sana, Mungu alieanzisha kazi hii ndani yako ataimalizia salama.
Nim............................................................ Nahofia isitoke
Hi wana Jamii nashukuru kujiunga nanyi leo. Ahsante, mnivumilie pia ninapokosea maana ndio najifunza.