AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
wakuu mi npo dar maeneo ya
mbezi beach,nna hela ya ziada
mil 10 nmeona niangalie fursa
tofauti tofauti,nimeona biashara
ya bajaji mbili ndo rahisi kwani
haitaharibu mda wa chuo
masomoni.wakuu hi biashara
ikoje mliopo kwenye
biashasa,ina risk zipi pia?
naomba ushauri wenu pia nnje
ya bajaji pia opportunities labda
za kuchukua simu china.
risk ni kama zote zikagongwa vibaya sana na hauna bima.
nje ya apo ni sawa.