Msaada wa mawazo

sumaibra

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
232
Reaction score
101
Habari wana JF,mm ni kjana ambae nimepata choice mbili za masomo ambazo ni 1)civil eng 2)computer science
sasa naomba mnishauri kozi ambayo nkisomea itakua rahisi kuajiriwa na kujiajiri
 
coz 1..mekaa vizur..hiyo 2 kwasasa kawaida sana ilikua miaka ya nyuma..nimtazamo...
 
kama una uwezo soma civil...comp sc tupa kule hakuna ki2 hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…