Habari ndugu zangu.
Nimeshindwa la kufanya na kushauri, mdogo wangu kahitimu diploma ya ualimu ila ana mapenzi sana na IT yuko kazini tangu 2013 anahitaji kwenda kusoma ila ni kipi akasomee kaniuliza nimeshindwa kumjibu.
Je mwanishauri nini ili nimsaidie maana yaelekea hafurahii kubaki ktk ualimu.
Asanteni sana.
Nimeshindwa la kufanya na kushauri, mdogo wangu kahitimu diploma ya ualimu ila ana mapenzi sana na IT yuko kazini tangu 2013 anahitaji kwenda kusoma ila ni kipi akasomee kaniuliza nimeshindwa kumjibu.
Je mwanishauri nini ili nimsaidie maana yaelekea hafurahii kubaki ktk ualimu.
Asanteni sana.