Sasa kama ana mapenzi na IT na hajui akasomee mini basi tayari hilo ni tatizo namba Moja
Kumbuka umesema yeye ni mwalimu na yuko kazini mwaka wa tatu sasa, kwahiyo huyo ni mtu mzima na anategemewa hata na jamii anamoishi kwa ushauri na miongozo mbalimbali, hivyo asimame kama yeye na kuwa na maamuzi binafsi