Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia wanasfia saro5Kulima tunalima ila hatutoki kimavuno ila baada ya kukaa chini nimeona bora nije hapa nipate. Ushauri au elimu bora ya uchaguaji mbegu yenye kipato kikubwa,karibuni kwa maoni wakuu
Upo mkoa gani kwanzaKulima tunalima ila hatutoki kimavuno ila baada ya kukaa chini nimeona bora nije hapa nipate. Ushauri au elimu bora ya uchaguaji mbegu yenye kipato kikubwa,karibuni kwa maoni wakuu
Nimelima saro tena ngoja niwahi jukwaa la matangazo
Lima SaroMbeya wilayani mbarali
Kwa sasa hakuna mbegu inayozidi SARO 5 utadanganywa bure hata mimi nilikuwa nalima hizi za kienyeji naishia gunia 12-18 kwa heka ila mwaka huu SARO 5 imetoa si chini ya gunia 25-28 debe 7 bila kutumia mboleaKuna nyingine zaidi ya hapo?
Kwa sasa hakuna mbegu inayozidi SARO 5 utadanganywa bure hata mimi nilikuwa nalima hizi za kienyeji naishia gunia 12-18 kwa heka ila mwaka huu SARO 5 imetoa si chini ya gunia 25-28 debe
Bei gani na unapanda kias gani kwa ekari.Kwa sasa hakuna mbegu inayozidi SARO 5 utadanganywa bure hata mimi nilikuwa nalima hizi za kienyeji naishia gunia 12-18 kwa heka ila mwaka huu SARO 5 imetoa si chini ya gunia 25-28 debe 7 bila kutumia mbolea
Kulima tunalima ila hatutoki kimavuno ila baada ya kukaa chini nimeona bora nije hapa nipate. Ushauri au elimu bora ya uchaguaji mbegu yenye kipato kikubwa,karibuni kwa maoni wakuu
Inapatikana wapi mkuu ?Aisee Kuna mbegu inaitwa super bc ina balaa sana, na inastahimili uhaba wa maji
Hao wamisri walishawahi kuwepo hapa nchini, walikua jirani zangu kabisa wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Na walikua na project hiyo ya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, eneo nimesahau linaitwaje ila ni baada ya kupita MomboTuwaite Wamisri watufundishe, wanatowa mpunga mpaka gunia 40, za kilo 100 kila moja, kwa eka 1.
Tena ni kilimo cha irrigation.