Msaada wa Mbolea Ya Kupandia Tikiti Na Hoho

Msaada wa Mbolea Ya Kupandia Tikiti Na Hoho

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Habari za Jioni wakuu.
nategemea kuanza kupanda matikiti maji na pili pili hoho wiki ijayo.

Wakulima wengi kwenye enao nililopo wamehsauri wakati wa kupanda nitumie mbolea ya kuku am samadi.

Kulingana na mazingira niliyopo nimekosa kabisa hiyo aina hizo za mbolea.

Naombeni ushauri wa aina gani ya mbolea ya dukani naweza kutimia kupandia na nikiasi gani kinatosha heka 3.

Asanteni
 
Kuna wataalamu wa kilimo wanaojulikana kwa jina la KILIMO BIASHARA. Hebu wa google tu, utawapata na hizo taarifa unazotaka wanazo kede kede, ni wewe tu na muda wako wa kuzisoma. Bye for now Fursakibao.
 
Kuna wataalamu wa kilimo wanaojulikana kwa jina la KILIMO BIASHARA. Hebu wa google tu, utawapata na hizo taarifa unazotaka wanazo kede kede, ni wewe tu na muda wako wa kuzisoma. Bye for now Fursakibao.
Mkuu ninatumia mda mwingi sana kwenye internet lakini Makala za hao wataalamu wa mtaandaoni hazina maelezo ya kutosha. unakuta nyingi wamecopy.

Humu nadhani kuna wataalamu ambao wameshalima na wanauzoefu na hayo mazao niliyosema.
 
Mkuu ninatumia mda mwingi sana kwenye internet lakini Makala za hao wataalamu wa mtaandaoni hazina maelezo ya kutosha. unakuta nyingi wamecopy.

Humu nadhani kuna wataalamu ambao wameshalima na wanauzoefu na hayo mazao niliyosema.
Nadhani ni suala la imani, unatuamini sana sisi wa humu JF; nakushauri uwaamini na hao wa mtandaoni, huko ndiyo jukwaa lao na zaidi ni kuwa wameweka namba zao za mawasiliano, unaweza kuwapigia mkahojiana ili mradi upate utakacho na kisha ukichanganye na cha humu JF kisha chagua cha kutumia na songa mbele.
 
NPK otesha
DAP
Hzi mbolea kwa pamoja zinafanya vizur sana kwa kupndia matikit pia hata tango kwa ekari moja inategemea umepnda miche mi ngapi maana kila mche unapndia gram 10 kile kifuniko cha maj poa kama ni miche 5000 sawa na 50kg ambapo ndiyo sawa na mfuko mmoja WA mbolea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali mbaya season hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Naskia matikiti yameadimika sahvi!
Alafu kwa uzoefu wangu sijawahi skia msimu hata mmoja watu wakasema Hali nzuri!
Hebu jaribu kwenda vetenari Tazara sokoni tikiti yanahitajika mimi nlipita kumulizia jamaa yangu soko bei nlipewa ya tikiti moja 2500 mpaka 3000 dalali pale kila tikiti anakata chke 200/

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupandia tikiti na hoho tumia mbolea aina ya NPK kila shimo weka 5gram ekari moja ina ukubwa wa square mita 4000 hivyo kwa tikiti ukipanda spacing ya 1M× 1M utapata mashimo 4000 hivyo piga mahesabu kuwa utatumia kg ngapi kwa ekar kwa mahesabu hayo ekari moja utatumia 25kg hivyo ekari 3 utatumia 75 kg sawa na mfuko mmoja na nusu hivyo utatakiwa ununue mifuko 2 kilo 25 zitabaki
 
Habari za Jioni wakuu.
nategemea kuanza kupanda matikiti maji na pili pili hoho wiki ijayo.

Wakulima wengi kwenye enao nililopo wamehsauri wakati wa kupanda nitumie mbolea ya kuku am samadi.

Kulingana na mazingira niliyopo nimekosa kabisa hiyo aina hizo za mbolea.

Naombeni ushauri wa aina gani ya mbolea ya dukani naweza kutimia kupandia na nikiasi gani kinatosha heka 3.

Asanteni
upo wap? mbolea ya kuku ni nzuri sana kwa kupandia hupendezesha mmea na kufanya unenepe ungeipata usingejutiaView attachment 862420
IMG_20180904_102317.jpg
 
mtafute kilimomaarifa utajiri alikuwa ana uzi mzuri humu cjui yuko wapi
 
kaka vp soko la zanzibar nasikia ni zuri kiasi! hunanamba ya dalali wa tkti au nanasi nataka nianze kuzisafirisha kama italipa
Nitakuangalizia. Ni vizuri ukaleta off season
 
DAP ndio mbolea ya kupandia Fanya utanipa mrejesho.baada mmea kuota ndipo unaweka UREA ambayo ni kukuzia au unachanganya URA na CAN ambayo ni ya kuzalisha tunda
 
Back
Top Bottom