young ricky
Senior Member
- Aug 24, 2018
- 162
- 165
SafiKupandia tikiti na hoho tumia mbolea aina ya NPK kila shimo weka 5gram ekari moja ina ukubwa wa square mita 4000 hivyo kwa tikiti ukipanda spacing ya 1M× 1M utapata mashimo 4000 hivyo piga mahesabu kuwa utatumia kg ngapi kwa ekar kwa mahesabu hayo ekari moja utatumia 25kg hivyo ekari 3 utatumia 75 kg sawa na mfuko mmoja na nusu hivyo utatakiwa ununue mifuko 2 kilo 25 zitabaki
off season ni lini?Nitakuangalizia. Ni vizuri ukaleta off season
Tatizo hizi za kiwandani ukipiga maji mengi zinayeyuka haraka na kupotelea ardhini. Ndio mana wengi hushauri kupandia samadi sababu itakaa kwa muda mpaka utapoweka mbolea ingine. Nini maoni yako kwa hili?Nunua:
Yara Otesha hii nzuri kuliko.mbo'ea zote za kuoteshea
Kukuzia Nunua Yara Mila Winner
Kunenepeshea matunda Nunua Yara Nitrabor
Umemaliza hapo
Mkuu hii 1M X 1M ni mstari hadi mstari na shimo hadi shimŕo?Kupandia tikiti na hoho tumia mbolea aina ya NPK kila shimo weka 5gram ekari moja ina ukubwa wa square mita 4000 hivyo kwa tikiti ukipanda spacing ya 1M× 1M utapata mashimo 4000 hivyo piga mahesabu kuwa utatumia kg ngapi kwa ekar kwa mahesabu hayo ekari moja utatumia 25kg hivyo ekari 3 utatumia 75 kg sawa na mfuko mmoja na nusu hivyo utatakiwa ununue mifuko 2 kilo 25 zitabaki
Naweza kuweka mbolea ya kukuzia mara mbili kama ipo?Nunua:
Yara Otesha hii nzuri kuliko.mbo'ea zote za kuoteshea
Kukuzia Nunua Yara Mila Winner
Kunenepeshea matunda Nunua Yara Nitrabor
Umemaliza hapo
Mda ambao sio msimu wake. Yaani wakati ambapo wakulima wengi hawalimi.off season ni lini?
Mstari hadi mstari na shimo hadi Shimo ila inategemea na varietyMkuu hii 1M X 1M ni mstari hadi mstari na shimo hadi shimŕo?
Nilipanda kwa vipimo vya 2M X 70cm na nilipata mashimo 2915
Ndio kwanza nimepanda, wiki ya tatu sasa.Mstari hadi mstari na shimo hadi Shimo ila inategemea na variety
Vipi kwa spacing uliyo tumia ulipata mavuno Mazuri?
OK mkuu siyo mbaya hiyo spacing endelea na management tu!Ndio kwanza nimepanda, wiki ya tatu sasa.
Hiyo spacing nilishauriwa na mtaalamu moja wa USAID baada ya kugundua nimetengeneza matuta makubwa. Badala ya kuyapunguza akanishauri nitumie hiyo space