Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,473
Hizo pump hazizidi 20m x3=60m. Kiwanja 100m. EIA 10M, Vikao 10m vibari mbalimbali vyote na leseni 10m . Total 190m + shade, toilet, ofisi, tank za kuweka mafuta chini vyote 100m inakuwa jumla kuu 290m iweje wauze 2.3BKITUO CHA MAFUTA KINAUZWA KIPO MBAGALA DAR ES SALAAM
BEI NI USD 1,000,000 (usd 1M) Sawa na pesa za kitanzania Bilioni 2.3
mawasiliano 0782 780 980 au 0677 81 82 83
View attachment 1257958
sikulaumu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia... nitafutia kituo cha mafuta chenye hata pump 1 tu kwa bei hiyo...nakununuliaHizo pump hazizidi 20m x3=60m. Kiwanja 100m. EIA 10M, Vikao 10m vibari mbalimbali vyote na leseni 10m . Total 190m + shade, toilet, ofisi, tank za kuweka mafuta chini vyote 100m inakuwa jumla kuu 290m iweje wauze 2.3B
Sawa kwa bei hiyo utawakamata mabwiga tu. Hiyo petro station si ya bei unayotaja.sikulaumu hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia... nitafutia kituo cha mafuta chenye hata pump 1 tu kwa bei hiyo...nakununulia
Mkuu jifunze kukaa kimya katika mambo usiyoyajua na yaliyokuzidi uwezo wako...sio lazima uchangie...
Yaani nakushangaa sana unakurupukia na kuthaminisha mali za watuSawa kwa bei hiyo utawakamata mabwiga tu. Hiyo petro station si ya bei unayotaja.
Kwa uliyoorodhesha mmiliki wa kituo asingetangaza kuuza. Utawapata mabwiga tu.Yaani nakushangaa sana unakurupukia na kuthaminisha mali za watu
1.Hujui location ya kituo
2.hujui fame kiasi gani na connection ambazo hicho kituo ishatengeneza za wateja wakudumu
3.hujui ina matanki mangapi na yana ukubwa gani
4.hujauliza mauzo ya siku ni lita ngapi?
Yaani nakusikitikia sanaaa hasa hasa ukinambia kuna siku unaanzisha biashara... wewe unaangalia thamani ya vitu inavyoviona kwa macho na data zakukadiria... daaaaaahhh pole sanaa
kumbe umejiona sasa kuwa wewe ndio bwiga wa kwanza... uwe unauliza kwanza..sio unakurupukaaa tuuuKwa uliyoorodhesha mmiliki wa kituo asingetangaza kuuza. Utawapata mabwiga tu.
Structure gani za gharama hiyo zinafanya iwe ghari hivyo?
Hii Ni tabia ya sisi watanzania, mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili. Wala hajui Kama Kuna categories za vituo, ukubwa wa Tank, mode of operation etc.
Tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa.
Kimsingi Kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm. Walau liwe na pump mbili, ukubwa wa Tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30,000 liters.
Kuna kituo kikubwa Petrol Service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm, pump zaidi ya nne, Kuna car service, restaurant/kiosk.
Kituo kikubwa kinagharimu Kati ya 300 - 400ml kukijenga kidogo Ni Kati ya 90m - 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material.
Matenk Ni Kama 15m lenye ujazo wa 20,000 pump 10 - 15m.
Mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza.
Kila Lita ina margin Kati ya 65 - 130.
Hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo
Tusikashinane tamaa.
Kama hujui kaa kimya like unachokijua hata Kama Ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa
Ni kwl kabisa mkuuUbarikiwe sana mkuu. Hii ni faida kwa wengi pia na sio mimi pekee niliye na mpango huo. Umenufaisha wengi sana.
Ww hujaona vzr mkuu hakuna mtu alie piga hesabu ya hvy..Kuna mdau hapo juu kampigia hesabu za haraka haraka Kuwa ni milioni 15
Waka ukweli wakoUongo
Ujenzi wa paa ni zaidi ya hiyo hela uliitaja, gharama ya chuma, galvanised sheets siyo kwa bei hiyo mkuuPump 2@15,000,000/=
Kiwanja 100,000,000/=
Ujenzi wa paa10,000,000/=
Mantank ya lita 100000 mawili @ 15,000,000/ kifupi haifiki milioni 200
Inawezekana isiwe hiyo lakini si gharama kubwa kama baadhi ya watu wanavyosema.Ujenzi wa paa ni zaidi ya hiyo hela uliitaja, gharama ya chuma, galvanised sheets siyo kwa bei hiyo mkuu
Hii Ni tabia ya sisi watanzania, mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili. Wala hajui Kama Kuna categories za vituo, ukubwa wa Tank, mode of operation etc.
Tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa.
Kimsingi Kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm. Walau liwe na pump mbili, ukubwa wa Tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30,000 liters.
Kuna kituo kikubwa Petrol Service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm, pump zaidi ya nne, Kuna car service, restaurant/kiosk.
Kituo kikubwa kinagharimu Kati ya 300 - 400ml kukijenga kidogo Ni Kati ya 90m - 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material.
Matenk Ni Kama 15m lenye ujazo wa 20,000 pump 10 - 15m.
Mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza.
Kila Lita ina margin Kati ya 65 - 130.
Hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo
Tusikashinane tamaa.
Kama hujui kaa kimya like unachokijua hata Kama Ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa
Unaweza kuongeza nyama kidogo mkuu msaada upi anaweza pata hapo Oil ComMkuu nenda pale OIL COM kurasini wale jamaa watakupa feedback mzuri sana tena na pump utapewa bure na jenereta.Wale jamaa wamwsaidia watu wengi sana.
Bora wewe umeelezea kwa namba. Sio hao wengine wanasema 2b maraa 700m ni pesa ya nyanya.
Kabisaa Mkuu Kaelezea Vizurii kabisa Kwa Maana Iyoo Hapo hutegemea Tuu Manunuzi Ilaa Katoa mchanganuo Mzuri kabisa...