Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Acha utani wewe kituo cha mafuta hakijengwi kwa pesa ya kununulia nyanya.
Punguza ujuaji nkamu haya sasa weka kiwango chako
Shida mmezoea sifur zinapoongezwa
Million 700 inatosha kuanza kituo cha mafuta ten hapo parefu mno pump nne andaa milio 30-40
Kisima chini miundo mbinu yake 10 million mpaka 20

Paa na wiring itategemea Ila kama la kisasa sana weka m50

Afu gari za kubeba mzigo tanks mbili au moja inatosha Ila mbili inakupa unafuu weka 300m
Hapo unanza kazi vibali hongo weka 50
 
Mkuu tofauti ya filling station na service station ikoje?
 
Hongo[emoji847][emoji847]
 
Japo faida naona ni ndogo sana
Acha uongo.

Faida ni kubwa mno. Labda serikalini wakuwekee kizingiti cha mambo ya kodi.

Ukiwa sehemu nzuri unauza almost lita 2000 tena high way.

Hapa mjini unauza hadi lita 5000 kwa siku.
 
Faida kwenye mafuta ni 200 au chini ya hapo.
 
Faida kwenye mafuta ni 200 au chini ya hapo.
Acha uongo.

Faida ni kubwa mno. Labda serikalini wakuwekee kizingiti cha mambo ya kodi.

Ukiwa sehemu nzuri unauza almost lita 2000 tena high way.

Hapa mjini unauza hadi lita 5000 kwa siku.
 
Amekuwa realistic.
 
This is perfect.
 
Nimejitahidi kuusoma uzi huu kwa umakini...kwani hata mm nafikiria kufanya biashara hii kama ntabarikiwa.... kwa maelezo na takwimu za wadau....nimegundua ukiwa na 500m unaweza kujenga na kuazisha kituo kikubwa cha kuanzia pump nne....bado sijapata maelezo ya kutosha kuhusu faida katika biashara hii....faida ikoje wadau?
 
500m nyingi sana mkuu kwa kuanzia
 
Uzi huu upon humu ndan mida mrefu pia unae mchanganuo wrote

Utafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…