Msaada wa meno!!

Ipi dot com

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
306
Reaction score
166
Salaam wana jf,mtoto wa miaka 8 meno yameotea kwa ndani wakati ya mbele yahatikisiki wala kuonyesha dalili ya kung'oka.nisaidieni uzoefu wenu
 
Hapo huna jinsi, mpeleke hospital akang'olewe hayo ya zamani, vingnevyo hayo yaliyoota yatakuwa na shepu mbaya, yanaweza kupinda na kuharibu muonekano wa mtoto. Kamng'oe haraka.
Salaam wana jf,mtoto wa miaka 8 meno yameotea kwa ndani wakati ya mbele yahatikisiki wala kuonyesha dalili ya kung'oka.nisaidieni uzoefu wenu
 
Hapo huna jinsi, mpeleke hospital akang'olewe hayo ya zamani, vingnevyo hayo yaliyoota yatakuwa na shepu mbaya, yanaweza kupinda na kuharibu muonekano wa mtoto. Kamng'oe haraka.

asante
 
Hapo huna jinsi, mpeleke hospital akang'olewe hayo ya zamani, vingnevyo hayo yaliyoota yatakuwa na shepu mbaya, yanaweza kupinda na kuharibu muonekano wa mtoto. Kamng'oe haraka.

sasa hakuna thanks, hakuna like hakuna chochote sijui nikuambiaje ila hembu ona ninavyokupigia makofi ya kibunge

pa pa pa pa pa
 
duuuu! Thanks Susy, makofi yame2lia. Hivi na 'like' imekuwaje tena? Siioni jaman.
sasa hakuna thanks, hakuna like hakuna chochote sijui nikuambiaje ila hembu ona ninavyokupigia makofi ya kibunge

pa pa pa pa pa
 
sasa hakuna thanks, hakuna like hakuna chochote sijui nikuambiaje ila hembu ona ninavyokupigia makofi ya kibunge

pa pa pa pa pa

teh teh teh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…