Shukhrani kamanda1. Sales & Marketing..
-Website maintenance
-Online Marketing
-PR
-Lead Generation
-Opportunity Management
-Account management
2. Operations.
-Production
-Customer Service
-Shipping and
Fulfillment
-Product Development
3.Financial and Admin
-Book Keeping
-Accounting Office
-Management
-IT
-HR Financing
Shukhrani kwa ushauri.Ni kampuni yako unataka kuanzisha?
Kama ni kampuni yako ndogo, haina haja ya ku complicate kwa sasa, ikiwa complex ndio nawe unazidi kuiundia vitengo mbalimbali na kui formalize zaidi
Kwa sasa kama wewe ndio mkurugenzi mwenyewe utakua na right hand man wako ambaye ndio utamfanya manager na HR na mshauri, japo mtashirikiana hapo
Wengine ni sekretari, mhasibu, mtu wa marketing na utafiti, na mtu wa kuwafanyia usafi kama mtahitaji...kampuni inafanikiwa tu kama nidhamu ikiwepo
Inategemea unataka kufanya shughuli gani ya biashara/huduma, ukubwa wake, mtaji nk. Wataalamu wa Organization structures tupo.Habarini wadau wa JF !
Nahitaji msaada wa mfumo mzuri wa uongozi wa kampuni. Kama kuna watu wa utawala humu, raslimali watu nk wanisaidie. Ikiwa kampuni ndogo tu au ya kati na hususani kwenye TITLES za msingi itakuwa poa sana
- Shukhrani
ShukhraniUnless kama una capital kubwa basi unaweza anza kwa kuajiri kabisa ila kama unaanzia chini basi kazi zote zinakuhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleweka sana, but kama unahitaji document nzima tuma email yako pm nikuforwadie structure docHabarini wadau wa JF !
Nahitaji msaada wa mfumo mzuri wa uongozi wa kampuni. Kama kuna watu wa utawala humu, raslimali watu nk wanisaidie. Ikiwa kampuni ndogo tu au ya kati na hususani kwenye TITLES za msingi itakuwa poa sana
- Shukhrani
PoaNaomba ufafanuzi kidogo ukisema kampuni ndogo, ya kati na kubwa capital zake zinakuwaje na aina ya structure inakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app