Tawi la MOSHI na DODOMA
Soon Litafunguliwa
Chini ya Kampuni ya ONE2ONE FOCUS
ONE 2 ONE FOCUS.CO LTD ni Kampuni ya Kizalendo ,iliyosajiliwa na BRELA kwa Hati Namba ya Usajili 127281 na TIN Namba :
131-202-040.
Kampuni inajishughulisha na:
1.Ujenzi wa Majengo Mbalimbali.
2.Upimaji wa Viwanja
3.Utengenezaji wa Ramani.
4.Uuzaji wa Viwanja.
Kwa Ujenzi wa Nyumba Tunakujengea na Kufanya Finishing Kuanzia Hatua ya Awali Mpaka Mwisho wa Ujenzi.
Pia Katika Ujenzi Huo Tunakuwekea:-
1.Uwiano Mzuri wa Cements
2.Nondo za mm 12 ,mm 16 na mm 24 za Chuma Kulingana na Aina ya Ujenzi.
3.Mbao imara i.e Mikaratus,Saiprus
4.Mabati imara Kutoka Nje ya Nchi
5.Tiles Daraja la Kwanza.
6.Tunaweka Gypsum
7.Tunaweka Fremu,Milango
8.Milango ya Mbele na Nyuma Kuwekewa Grill.
9.Tunaweka Fitting za Makabati,Mifumo ya Maji,Makabati ya Jioni.
10.Wiring ya Umeme.
Tupigie kwa:-
0715-908698(Whatsapp/Call)
0759-538688(Call)
OMARI RAJABU
MARKETING OFFICER
ONE2ONE FOCUS
MAKUMBUSHO COMPLEX
DAR-ES-SALAAM
Pia Tuna Ofisi Jiji la Mwanza
BUZURUGA COMPLEX
MWANZA
Mkoa wa Arusha
NAMVUA PLAZA
Floor ya 4
Kwa Majengo Bora,Imara kwa Gharama Nafuu Usisite Kutupigia
0715-908698(Call/Whatsapp)
0759-538688(Call Only)
0629-955992(Halotel Call)
NB:Tunajenga Mkoa wowote