Msaada wa mimba jamani

Msaada wa mimba jamani

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
605
Jamani leo hii nimejisahau nimekula nyama nyama na mwanafunzi wa form six na yuko kwenye siku zake za hatari kwani ni siku yake ya kumi na tano tangu atoke kwenye MP,naombeni msaada nimwepushe na mimba ambayo inaposibility kubwa ya kuingia naombeni msaada jamani watalaam
 
Mkuu ungekuwa nchi za wenzetu ungeweza kupata 'morning after pill' sijui kama bongo ipo lakini

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]What is "the Morning-after Pill"?[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Emergency contraception more commonly known as "the morning-after pill" is two large doses of hormones, similar to the ones in the birth control pill. The first dose must be taken within 72 hours of unprotected or inadequately protected intercourse, followed by a second dose 12 hours later. It is meant only as a back-up method of birth control to be used on an emergency basis only if you believe there has been a failure in your current method of birth control (i.e. when a condom breaks, if you have missed 2 or more days of the pill, etc).[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

By the way ukipanda bangi usitegemee kuvuna mchicha..
 
kaka nisaidie ujue sina raha kabisa hapa nilipo alafu ukizinatia baba ake ni mjeda aisee,


Mkuu ungekuwa nchi za wenzetu ungeweza kupata 'morning after pill' sijui kama bongo ipo lakini



By the way ukipanda bangi usitegemee kuvuna mchicha..
 
kaka nisaidie ujue sina raha kabisa hapa nilipo alafu ukizinatia baba ake ni mjeda aisee,
Ni masaa mangapi yamepita mpaka sasa hivi na upo mji gani.., (sijui kuhusu Bongo ila nchi za nje ungeweza kupata morning after pill) nadhani UK unaweza kuipata form pharmacies au NHS.., sijui kuhusu Bongo kama unaweza kuipata..

Anyway sio guarantee kama atapata mimba ila akipata ndio hivyo tena huwezi kujua huenda ndio umepata bahati na kiumbe ni a future mesiah

Lakini kama ulijua yote hayo kwanini mlifanya tendo (mlikuwa mmelewa ? )
 
Ni masaa kama matano hivi,nipo kahama,kaka nilipitiwa tu


ni masaa mangapi yamepita mpaka sasa hivi na upo mji gani.., (sijui kuhusu bongo ila nchi za nje ungeweza kupata morning after pill) nadhani uk unaweza kuipata form pharmacies au nhs.., sijui kuhusu bongo kama unaweza kuipata..

Anyway sio guarantee kama atapata mimba ila akipata ndio hivyo tena huwezi kujua huenda ndio umepata bahati na kiumbe ni a future mesiah

lakini kama ulijua yote hayo kwanini mlifanya tendo (mlikuwa mmelewa ? )
 
Ni masaa kama matano hivi,nipo kahama,kaka nilipitiwa tu
72 - 5 = 67.

Una masaa 67 weka tangazo hapa JF tafuta mtu ambae yupo UK (najua morning after pills zipo kwa wingi) ongea nae akutumie haraka kesho.., akipata ndege inayokuja huku am sure within 24 hours utakuwa na vidonge vyako na atameza.. huenda vinapatikana sehemu nyingine ila nina uhakika UK vipo
 
Mkuu kwa kuongezea nimeona hii extract unapoweza kununu hizi pills

The time between sexual intercourse and taking the tablet is key to its effectiveness – usually it must be taken within 72 hours, i.e. three days. In Europe, it is available without prescription in eleven countries, including Albania, Belgium, Denmark, Finland, Greece, Holland, Portugal and Sweden (outside theEU, you can find it in Norway, Morocco, Israel and South Africa).

In the
UK, the pill has been sold without prescription to women over the age of 16 since 2001, and costs 28 euros (£25). The price of the morning after pill is also extortionate in Switzerland (24 euros, £21). However in France, where the ‘post-coital pill' (as the docs brand it) has been sold since 1999 without a GP prescription, it costs less than ten euros (£8. 90). In Poland, the price is midway, at 50 - 80 zlotys (10-17 euros, £8 - 15), depending on the kind.

Kwahio from above unaweza kuzipata hata South Africa
 
kaka nisaidie ujue sina raha kabisa hapa nilipo alafu ukizinatia baba ake ni mjeda aisee,

nenda duka la d.wa lolote kubwa kuna vidonge watakupatia vina uwezo wa kuiharibu kama haijazidi mwezi. Nimesahau jina lake. But ujue unauwa kiumbe.
 
Ni masaa kama matano hivi,nipo kahama,kaka nilipitiwa tu

Dah! utapitiwaje pale unapoamua kutembea na mtoto wa shule!!!!? Hujui kama kuna kinga za kuzuia ujauzito? Uombe Mungu asipate mimba au itakula kwako.
 
Morning After Pills zipo kwa wingi Nairobi.
Kama zipo Nairobi basi mkuu uenda umepona tafuta mabasi yanayokwenda huko ongea na konda au dereva wakurekebishie.., kuanzia kesho utakuwa na masaa kama 55 hivi ukifanya chap chap unaweza ukapata vidonge within this time au kama unajua mtu Nairobi mtume
 
unauhakika una nguvu za kuweza kumkamatisha mimba? coz unaweza hata nguuvu ukawa huna
 
Napita! Utushirikishe ma-aunt kwenye kuchagua majina ya tamtilia. Wknd nimekuta mdada anamuita mwanae Kimora, nilichoka!
 
Napita! Utushirikishe ma-aunt kwenye kuchagua majina ya tamtilia. Wknd nimekuta mdada anamuita mwanae Kimora, nilichoka!

Ha ha ha! JF kweli kisima cha Faraja na burudani, mtoto aitwa Kimora
 
Back
Top Bottom