Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 540
Tukizungumzia mke wa kurithi ni huyo mke ambaye wakati mume anakufa yeye alikuwa bado ni mkewe ( hakuwa ameachwa) ama kwa watoto ni watoto wote wa mume bila kubagua alizaa na mke wa kwanza au mwingineendapo baba aliwahi kuoa wake wanne kwa wakati tofaut tofauti yani anaoa af anaachana nae kisha anaoa mwingine. kumbuka ktk wake hao wanne alijenga namke wa pili tu. na huyo mke ambae badozyipo nae amaish nae kwenye nyumba alojenga na mke wa pili. je ni nan mrith halal wa hiyo nyumba? watoto wote au wa yule alojenga nae?
cjakupata mdau
Sijui sheria inasemaje lakini ninavyofahamu ni kuwa wale walioachwa kutokana statute limitation hawana haki kwani haki wangedai baada ya kutolewa talaka na kwa vile muda mwingi umepita hawana chaoendapo baba aliwahi kuoa wake wanne kwa wakati tofaut tofauti yani anaoa af anaachana nae kisha anaoa mwingine. kumbuka ktk wake hao wanne alijenga namke wa pili tu. na huyo mke ambae badozyipo nae amaish nae kwenye nyumba alojenga na mke wa pili. je ni nan mrith halal wa hiyo nyumba? watoto wote au wa yule alojenga nae?