Msaada wa mkopo ASAP wenye Riba

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2009
Posts
929
Reaction score
147
Msaada Mkopo ASAP:
Wakuu nimekwama jamani naomba Msaada wenu.
Nadaiwa kiasi cha tzs 550,000/= ili Niweze kumalizia digrii yangu,
kwa sasa niko mwaka wa 3 (mwisho) na graduation ni mwezi ujao
mipango yangu yote imekwama hivyo basi nahitaji
kiasi hicho cha pesa kama mkopo na zamana nitakayo weka ni cheti changu
original cha form iv/vi
Natanguliza shukrani zangu.
 
Si uende kwa Dean of Students ukalie lie kule watakuelewa!
 
mwaka wa 3 gani huo wapo chuo now na wanawait gd next month? nachojua ni kuwa mwaka wa 3 tulmalza mwezi wa 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…