mluhilamkuu
Member
- Dec 8, 2014
- 50
- 25
Wana Jukwaa Salaam.
Nina shida ya dharula na ya haraka sana ya Tsh. Ml. 20. Kuna project yangu moja imekwama na inahitaji pesa ya haraka sana. Nitarudisha ndani ya siku 30 kutoka siku nitakayopokea kwa interest ya 2.5 hivyo nitarudisha Tsh Ml.22,500,000/.
Dhamana naweka Nyumba yangu moja pamoja na Hati yake Original. Nyumba ipo Mivumoni, Dar es Salaam na kwa makisio ya harakaharaka ina thamani ya zaidi ya Tsh Ml. 80. Ukubwa wa eneo ilipo nyumba ni Square Meter 1200.
Mwenye uwezo wa kunisaidia naomba tuwasiliane kwa namba ya simu 0654 998326
Natanguliza Shukrani,
Mbarikiwe
Nina shida ya dharula na ya haraka sana ya Tsh. Ml. 20. Kuna project yangu moja imekwama na inahitaji pesa ya haraka sana. Nitarudisha ndani ya siku 30 kutoka siku nitakayopokea kwa interest ya 2.5 hivyo nitarudisha Tsh Ml.22,500,000/.
Dhamana naweka Nyumba yangu moja pamoja na Hati yake Original. Nyumba ipo Mivumoni, Dar es Salaam na kwa makisio ya harakaharaka ina thamani ya zaidi ya Tsh Ml. 80. Ukubwa wa eneo ilipo nyumba ni Square Meter 1200.
Mwenye uwezo wa kunisaidia naomba tuwasiliane kwa namba ya simu 0654 998326
Natanguliza Shukrani,
Mbarikiwe