sawa Ahsanteukifanikiwa kupata mtaji boresha biashara yako weka vitunguu maji,karoti mungu atakusaidia utafanikiwa tu..
Salaam wakuu wanaJf. Mimi ni mwanafunzi katika chuo Kikuu Ardhi, mwaka wa tatu. nimekuja kwenu kuomba mtaji kwa ajili ya biashara ya kuuza na kupark na kusambaza mbogamboga na matunda, >nimeifanyia tathmini na kuona ni biashara ambayo inahitaji mtaji mdogo na inarudisha mtaji kwa haraka zaidi. Ninatarajia kuifanya biashara hii katika wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam. Ninaomba mtaji huo uwe katika A: mkopo ambao nitaurejesha kwa makubaliano baina yetu ukiwa na riba au pasi na riba, >nitakukabidhi vyeti vyangu vyote kwa kuwa ndiyo dhamana pekee niliyonayo
. B:unipatie mtaji niuzungushe nikulipe kutokana na faida nitakayopata kwa siku ama kwa wiki,
C: unisaidie kuanzisha biashara kisha niikuze na kuanza ya kwangu binafsi huku nikikuachia ile ya mwanzo kuwa yako. <br />
Katika biashara hii nalenga wanajamii wanaonizunguka, watu katika mitandao ya kijamii na wapitaji pia. Uaminifu wangu ni mkubwa. <br
/>Kama una wazo lolote nitalipokea na kwa Wenye nia tafadhali nisaidieni kujikwamua kiuchumi. <
/>Ahsanteni.
nafanya biashara natafuta pesa ya kulipa ada.usilipe ada ya chuo. Iyo pesa ya ada anzisha hiyo biashara utafanikiwa tu.
sijapataVipi ulifanikiwa kupata mtaji wa hiyo biashara yako?
Unatarajia kuianza lini pale utakapopata huo mtaji? Mimi nipo tayari kukupatia huo mtaji kwa makubaliano ya kipengele B kama ulivyoeleza kwenye maelezo yako. Kama ukiweza nitumie mchanganuo wa namna utakavyokua unaifanya hiyo biashara. Nitumie PM email au namba yako ya simu kwa mawasiliano zaidi. Asante.sijapata
Vipi swahiba tangu siku hiyo hadi leo hii umefikia wapi?Salaam wakuu wanaJf. Mimi ni mwanafunzi katika chuo Kikuu Ardhi, mwaka wa tatu. nimekuja kwenu kuomba mtaji kwa ajili ya biashara ya kuuza na kupark na kusambaza mbogamboga na matunda, >nimeifanyia tathmini na kuona ni biashara ambayo inahitaji mtaji mdogo na inarudisha mtaji kwa haraka zaidi. Ninatarajia kuifanya biashara hii katika wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam. Ninaomba mtaji huo uwe katika A: mkopo ambao nitaurejesha kwa makubaliano baina yetu ukiwa na riba au pasi na riba, >nitakukabidhi vyeti vyangu vyote kwa kuwa ndiyo dhamana pekee niliyonayo
. B:unipatie mtaji niuzungushe nikulipe kutokana na faida nitakayopata kwa siku ama kwa wiki,
C: unisaidie kuanzisha biashara kisha niikuze na kuanza ya kwangu binafsi huku nikikuachia ile ya mwanzo kuwa yako. <br />
Katika biashara hii nalenga wanajamii wanaonizunguka, watu katika mitandao ya kijamii na wapitaji pia. Uaminifu wangu ni mkubwa. <br
/>Kama una wazo lolote nitalipokea na kwa Wenye nia tafadhali nisaidieni kujikwamua kiuchumi. <
/>Ahsanteni.
Samahan, una levo gani ya elimu?Salaam wakuu wanaJf. Mimi ni mwanafunzi katika chuo Kikuu Ardhi, mwaka wa tatu. nimekuja kwenu kuomba mtaji kwa ajili ya biashara ya kuuza na kupark na kusambaza mbogamboga na matunda, >nimeifanyia tathmini na kuona ni biashara ambayo inahitaji mtaji mdogo na inarudisha mtaji kwa haraka zaidi. Ninatarajia kuifanya biashara hii katika wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam. Ninaomba mtaji huo uwe katika A: mkopo ambao nitaurejesha kwa makubaliano baina yetu ukiwa na riba au pasi na riba, >nitakukabidhi vyeti vyangu vyote kwa kuwa ndiyo dhamana pekee niliyonayo
. B:unipatie mtaji niuzungushe nikulipe kutokana na faida nitakayopata kwa siku ama kwa wiki,
C: unisaidie kuanzisha biashara kisha niikuze na kuanza ya kwangu binafsi huku nikikuachia ile ya mwanzo kuwa yako. <br />
Katika biashara hii nalenga wanajamii wanaonizunguka, watu katika mitandao ya kijamii na wapitaji pia. Uaminifu wangu ni mkubwa. <br
/>Kama una wazo lolote nitalipokea na kwa Wenye nia tafadhali nisaidieni kujikwamua kiuchumi. <
/>Ahsanteni.
Vp mamy ulishafanikiwa kupata huo mtaji?Salaam wakuu wanaJf. Mimi ni mwanafunzi katika chuo Kikuu Ardhi, mwaka wa tatu. nimekuja kwenu kuomba mtaji kwa ajili ya biashara ya kuuza na kupark na kusambaza mbogamboga na matunda, >nimeifanyia tathmini na kuona ni biashara ambayo inahitaji mtaji mdogo na inarudisha mtaji kwa haraka zaidi. Ninatarajia kuifanya biashara hii katika wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam. Ninaomba mtaji huo uwe katika A: mkopo ambao nitaurejesha kwa makubaliano baina yetu ukiwa na riba au pasi na riba, >nitakukabidhi vyeti vyangu vyote kwa kuwa ndiyo dhamana pekee niliyonayo
. B:unipatie mtaji niuzungushe nikulipe kutokana na faida nitakayopata kwa siku ama kwa wiki,
C: unisaidie kuanzisha biashara kisha niikuze na kuanza ya kwangu binafsi huku nikikuachia ile ya mwanzo kuwa yako. <br />
Katika biashara hii nalenga wanajamii wanaonizunguka, watu katika mitandao ya kijamii na wapitaji pia. Uaminifu wangu ni mkubwa. <br
/>Kama una wazo lolote nitalipokea na kwa Wenye nia tafadhali nisaidieni kujikwamua kiuchumi. <
/>Ahsanteni.
nashukuru kwa moyo ulionesha,Unatarajia kuianza lini pale utakapopata huo mtaji? Mimi nipo tayari kukupatia huo mtaji kwa makubaliano ya kipengele B kama ulivyoeleza kwenye maelezo yako. Kama ukiweza nitumie mchanganuo wa namna utakavyokua unaifanya hiyo biashara. Nitumie PM email au namba yako ya simu kwa mawasiliano zaidi. Asante.
Vipi swahiba tangu siku hiyo hadi leo hii umefikia wapi?
hongera sana kwa kuonyesha jinsi gani elimu ilivyokujenga kifikra... kuna wanachuo wenzako wanawaza kuajiriwa tu kisa hawana mitaji na hawajui wataipataje.
Kwanza vipi kuhusu chuo bado unasoma au umemaliza?
Wanawake kama nyie hata mtu akiowa lazima ajisifu amepata zari kutokana na uadimu wenu.
Vp mamy ulishafanikiwa kupata huo mtaji?
naomba usome vizuriSamahan, una levo gani ya elimu?
Tutapenda utuletee mrejesho humu ....nashukuru kwa moyo ulionesha,
Ila nimepata mdau humu humu amenipatia kazi ambayo itanisaidia kupata mtaji wa kufanya niichoainisha.
fungua genge. Uza vitu vidogo baadae vikubwa. Halafu uwe mbahililima viaz tu
Kwa mtaji wa sh250,000/=nitafanya biashara gani mjini has a mjini Njombe?
mahindi yakuchoma mzeeKwa mtaji wa sh250,000/=nitafanya biashara gani mjini has a mjini Njombe?