Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Kiujumla nahitaji ku-invest pesa kwa kuweka kidogo kidogo kwa muda wa miaka mitano bila ya kutoa kiasi chochote huku nikitegemea faida baada ya miaka hio mitano.
Nahitaji msaada katika nyanja hizi kama uliwahi kuwekeza kwa namna hii.
Je, riba wana calculate kwa namna gani hadi mteja kupata riba faida hio?
Je, wastani wa riba faida inacheza asilimia ngapi?
Karibuni
Nahitaji msaada katika nyanja hizi kama uliwahi kuwekeza kwa namna hii.
Je, riba wana calculate kwa namna gani hadi mteja kupata riba faida hio?
Je, wastani wa riba faida inacheza asilimia ngapi?
Karibuni