Habari zenu waheshimiwa,
Naomba msaada wa nakala ya makubaliano (mkataba) inayohusu ukodishaji wa vifaa kama vile cameras na video production kwa ujumla, pia nakala ya makubaliano ya kazi (particularly kazi za sanaa yani baina ya msanii na meneja)
Ahsanteni sana, Mungu awabariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wa nakala ya makubaliano (mkataba) inayohusu ukodishaji wa vifaa kama vile cameras na video production kwa ujumla, pia nakala ya makubaliano ya kazi (particularly kazi za sanaa yani baina ya msanii na meneja)
Ahsanteni sana, Mungu awabariki
Sent using Jamii Forums mobile app