unapo login weka User name No yako ya Form 4 kwa mtindo huu S0123/0012-2009 password weka jina la babako kwa herufi kubwa mfano MAIGE. Kumbuka kua kunataarifa imewekwa kua kama weae ni wa second Batch hutoweza pata barua yako mpaka baada ya October 1,
kama ulikua katika first list na bado unaahindwa niPM yor full name,Form 4 index Number na email yako nikusaidie kama nitaweza.