Unataka kwenda kwa kutumia usafiri Gani mkuu?Nataka kwenda lubumbashi Bar napitia wapi? Kutoka Kimara Suka?
Unachukua gari hapo suka hadi mbezi mwisho alafu unatembea kidogo na barabara ya kama unataka kwenda goba ipo kwa juu kilima cha shule ya msingi mbezi ila ipo upande wa pili kushoto hata ukiwa hapo shule ya msingi mbezi ukiulizia unaelekezwa kale bata mzee malaya wa kujiuza pia wapoNataka kwenda lubumbashi Bar napitia wapi? Kutoka Kimara Suka?
Mkuu usisahau kubeba zile zenye vipelevipele.Nataka kwenda lubumbashi Bar napitia wapi? Kutoka Kimara Suka?
Sijauona mzeeDah
Mkuu nishaacha mwanangu
Uzi wangu hukuuona?
ChanikaNdo wapi hapo?