Wateja huwa wanashirikishwa kuonyesha eneo ambalo umeme unapaswa kupitishiwa aidha kwa ambao nyaya zitapita juu ya viwanja vyao huwa wanapaswa kukubaliana na majirani zao kwa maandishi.Tulitarajia kama hilo limetoka bila ridha yako ungetoa taarifa mapemaHata kwangu chanika mmenifanyia haya tena toka nguzo inawekwa nawaambia hapa mnaweka juu ya kiwanja changu wale mafundi wananijibu "huwezi kutuzuia" kwahiyo nguzo imewekwa makusudi halafu baadae niingie gharama kuhiamisha kweli?
Mkuu hapa kwangu nahisi kuna mazingira ya rushwa, waliokuwa wanapelekewa umeme walimuhonga mwenyekiti wa mtaa, binafsi nimetoa eneo langu litumike kama barabara so nilitegemea tanesco wangepitisha nguzo pembezoni mwa hiyo barabara cha ajabu wamepitisha katikati ya eneo, pili hawa tanesco mbona wameshindwa kutumia hata weledi kidogo? Yaani wao ni kupitisha tu wanapojisikia?Wateja huwa wanashirikishwa kuonyesha eneo ambalo umeme unapaswa kupitishiwa aidha kwa ambao nyaya zitapita juu ya viwanja vyao huwa wanapaswa kukubaliana na majirani zao kwa maandishi.Tulitarajia kama hilo limetoka bila ridha yako ungetoa taarifa mapema
Usiwe na shaka tafadhali fika ofisini wataalamu wetu watakuja hapo na mgogoro utamalizika kwa kuwa sasa tunasikikiza upande mmoja wakati tunapaswa kusikiliza woteMkuu hapa kwangu nahisi kuna mazingira ya rushwa, waliokuwa wanapelekewa umeme walimuhonga mwenyekiti wa mtaa, binafsi nimetoa eneo langu litumike kama barabara so nilitegemea tanesco wangepitisha nguzo pembezoni mwa hiyo barabara cha ajabu wamepitisha katikati ya eneo, pili hawa tanesco mbona wameshindwa kutumia hata weledi kidogo? Yaani wao ni kupitisha tu wanapojisikia?
Sawa mkuuUsiwe na shaka tafadhali fika ofisini wataalamu wetu watakuja hapo na mgogoro utamalizika kwa kuwa sasa tunasikikiza upande mmoja wakati tunapaswa kusikiliza wote
Gharama za nini ninyi ndo mmepita kwenye kiwanja cha watu?Tafadhali andika barua kwenda kwa meneja wa eneo lako au fika ofisi za TANESCO ujaze form ya huduma kwa wateja ili wataalamu wa TANESCO wafike eneo lako kukagua kama inaweza kuhamishika na gharama halisi ambazo utapatiwa ili kufanya kazi husika
Ahsante sana
Hayo yatabainika mara baada ya wataalamu wetu kufika eneo lakoGharama za nini ninyi ndo mmepita kwenye kiwanja cha watu?
Hapo hata mm nashangaa, kawaida kabla haujapitishwa umeme lazima lizaa ya mwenye eneo husika iwepo, na sio katikati ya kiwanja Saveya wa Tanesco alichemsha.He!! Gharama ni kwa mwenye eneo au mteja wenu?
Asante nina tatizo linaofanana sawa na la mleta mada nashukuru kwa maelezo yako kwenye uzi huu.Hii gharama ni kwa aliyeomba nguzo ihamishwe kutoka eneo lake kwa kuwa hawezi kuomba mwingine nje ya eneo husika.
Hapa ninapoishi nilikuta tayari nguzo ya umeme ipo katikati ya barabara, kati yangu na jirani yangu. Nataka kuhamisha nguzo ije karibu na uzio wa nyumba ninayoishi. Gharama ya kuihaisha nguzo kutoka barabarani ni yangu?Hayo yatabainika mara baada ya wataalamu wetu kufika eneo lako