Uduvi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 738
- 518
Wapendwa nwasalim! Igweeee.
Wakuu nina mdogo wangu ambae alikuwa anasoma UDOM kwa baati mbaya kuna matatizo yalitokea katika familia yetu na ivyo alishindwa kufanya supplementary exams na matokeo yake akawa amedisco.sasa wakuu swali langu ni kwamba je kuna uwezekano akaendelea kupata mkopo endapo atafanikiwa kupata nafac ya chuo hapo mwakani? Na je ni taratibu gani azifuate ili kuweza kupata mkopo endapo atapata chuo hapo mwakani.nimeleta kwenu kwa kuwa naamini mtaweza kutusaidia ili mdogo wangu nae aweze kuendelea na chuo kama wengine.Asanteni
Wakuu nina mdogo wangu ambae alikuwa anasoma UDOM kwa baati mbaya kuna matatizo yalitokea katika familia yetu na ivyo alishindwa kufanya supplementary exams na matokeo yake akawa amedisco.sasa wakuu swali langu ni kwamba je kuna uwezekano akaendelea kupata mkopo endapo atafanikiwa kupata nafac ya chuo hapo mwakani? Na je ni taratibu gani azifuate ili kuweza kupata mkopo endapo atapata chuo hapo mwakani.nimeleta kwenu kwa kuwa naamini mtaweza kutusaidia ili mdogo wangu nae aweze kuendelea na chuo kama wengine.Asanteni