Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
Kuna option moja tu.paypal ukiwa Tanzania au ushaur wowote jinsi ya kutoa hela paypal bila ya account ya benki ya nchi husika.
Huwa nanunua pesa kutoka paypal, yani wewe unaweza kunitumia mimi hiyo pesa kisha ninakupa cash LAKINI nakata 15%
Bado unafanya hii shughuli boss?
Kua makini mkuu, kuna harufu ya majizi hapa
Huo uaminifu haupo.Kama utaniamini nitumie mimi nitaitoa kwa paypal yangu
Mimi paypal yangu nimeunganisha na bank ya US na bank yangu ya TZ
Kama nyingi naona tumia hapo Kenya unaweza kufungua account na kutoa pesa piaHabarini.
ngeomba kujua naweza tumia njia zipi kutoa hela kutoka paypal ukiwa Tanzania au ushaur wowote jinsi ya kutoa hela paypal bila ya account ya benki ya nchi husika.
asanteni.
Fungua payoneer wakishaithibitisha watakupa account ya bank ya First century, then we waombe wakupe account nyingine ya federal community bank nayo ya US. Then ijaze hiyo paypal kama withdrawl method. Ukiwithdraw pesa paypal itaingia payoneer, sasa hapo utaamua uitoe via atm au uiwithdraw kwenye local bank yako kama crdb, nmb n.kBado unafanya hii shughuli boss?
Unaporegister nchi unajaza tz au US?Fungua payoneer wakishaithibitisha watakupa account ya bank ya First century, then we waombe wakupe account nyingine ya federal community bank nayo ya US. Then ijaze hiyo paypal kama withdrawl method. Ukiwithdraw pesa paypal itaingia payoneer, sasa hapo utaamua uitoe via atm au uiwithdraw kwenye local bank yako kama crdb, nmb n.k
Yoyote tu mkuu. But huwezi weka paypal tz haipokei pesaUnaporegister nchi unajaza tz au US?
OK. Maana na mimi nina usd za kutosha paypal ila siwezi kuzitoa. Najiunga na payoneer kwa kufuata maelekezo yako mkuuYoyote tu mkuu. But huwezi weka paypal tz haipokei pesa
Yah jiunge payoneer sema kuna shida moja utaipata watakupatia acc ya century bank ili wakupe federal communitu acc sharti uwasiliane nao kwa kichat kitu ambacho hakiwezekan kama akaunt yako haijapokea walau $150OK. Maana na mimi nina usd za kutosha paypal ila siwezi kuzitoa. Najiunga na payoneer kwa kufuata maelekezo yako mkuu
Kweli hiho ni vhangamoto, ila nvoja tupambane mkuu. AsanteYah jiunge payoneer sema kuna shida moja utaipata watakupatia acc ya century bank ili wakupe federal communitu acc sharti uwasiliane nao kwa kichat kitu ambacho hakiwezekan kama akaunt yako haijapokea walau $150
We ni freelancer? Au una pesa skrill huko?Kweli hiho ni vhangamoto, ila nvoja tupambane mkuu. Asante
Kama nyingi naona tumia hapo Kenya unaweza kufungua account na kutoa pesa pia
OK. Maana na mimi nina usd za kutosha paypal ila siwezi kuzitoa. Najiunga na payoneer kwa kufuata maelekezo yako mkuu