Felixtz
Member
- Oct 19, 2015
- 55
- 17
Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi.
Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza nguo za dukani za jinsia zote.
Nilikua naombeni kujua bei za nguo hizo katika mikoa tofauti tofauti(napenda kutembeza kwenye mikoa tofauti)
Nguo ninazotaka kuuza ni kama:
Boxer, Vest, Tshirts, Ladies innerwears(panties,bra etc), Socks, Trouser etc. Shukran.
Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza nguo za dukani za jinsia zote.
Nilikua naombeni kujua bei za nguo hizo katika mikoa tofauti tofauti(napenda kutembeza kwenye mikoa tofauti)
Nguo ninazotaka kuuza ni kama:
Boxer, Vest, Tshirts, Ladies innerwears(panties,bra etc), Socks, Trouser etc. Shukran.