Sylivester Martine
New Member
- Aug 22, 2022
- 1
- 2
Fursa kwa wawekezaji wenye uhitaji wa eneo la kuwekeza nina eneo la square meter 900,000 lenye plots 20 kwa matumizi ya viwanda na uwekezaji eneo lipo Mlandizi(Ngeta), eneo liko mita 30 kutoka ilipo Reli ya kati na mita 40-50 kutoka ulipo mradi wa Reli ya kisasa ya SGR. Eneo limepimwa na Hati na vibali vyote vipo tayari.
Bei ni sh.4000 kwa mita ya mraba(4000Tsh/square meter).
Bei ni sh.4000 kwa mita ya mraba(4000Tsh/square meter).