mbongombishi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 593
- 308
Dr. Anthony, ana kliniki yake pale kinondoni inaitwa kinondoni dispensary
Habari nzuri tuu, hebu nenda pale Morocco airtel Kuna dispensary ya Dr Massawe kwa kweli huduma yake kwa watoto ni nzuri, jina la hiyo dispensary nimelisahau kidogo lakini ipo maeneo hayo ya Morocco airtel
shukrani mkuu,kinondoni ipi inapatikana hiyo zahanati?
Dr. Anthony, ana kliniki yake pale kinondoni inaitwa kinondoni dispensary
My best dr, Anthony anamtibia mtoto hadi raha sijui ni imani nikimpeleka mwanangu kwa antony nahis ndo anapona haraka
Iko pembeni na kinondoni hospital, ni hii njia ya Morocco-magomeni. Samahani cjui kuelekeza vizuri
dr.koya pale kariakoo,docta mzuri sana ila ukubali foleni tu maana ni best hapa dar kwa watoto ndo maana kila mtu anaenda pale
akhsante mkuuKwa dr Amir kariakoo hapa barabara ya umoja wa mataifa yupo bomba sana ila Inabid I uwahi kwani ana wagonjwa wengi sana
Mambo! Unaweza nipatia namba ya dr. Antony, mwanangu anashida kidogoAnamwangalia mtoto vizuri sana,pia hta ukimpigia cm anapokea na kukupa ushauri.