Msaada wa Pension Funds ni upi?

Msaada wa Pension Funds ni upi?

dist111

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
3,758
Reaction score
3,199
Wakuu mi nilikuwa nataka kujua Hivi haya Mashirika yanasaidia vipi Wanachama wao?

Manake unakuta mtu Umeanza kazi una 25yrs, unachangia huu mwaka wa kumi bado unakaa nyumba ya kupanga ukiwa umeenemeeka sana una Kavitz, Wakati michango yako inafika hata 30-60M's

Mi nadhani sheria yao ibadilishwe wawe wanasaidia wanachama wao hata kabla ya kustaaf! (Manake wanaishia kuwasumbua warithi tu kila siku nenda rudi....)
 
Nikiwa kama mfanyakazi wa moja ya mifuko naweza sema kwamba mifuko imekuwa kwa mfano inajenga nyumbaza gharama nafuu kwa manachama wake.Nadhani tatizo ni uwingi wa wanachama na awareness kuhusu uwepo wa fao hilo
 
Nikiwa kama mfanyakazi wa moja ya mifuko naweza sema kwamba mifuko imekuwa kwa mfano inajenga nyumbaza gharama nafuu kwa manachama wake.Nadhani tatizo ni uwingi wa wanachama na awareness kuhusu uwepo wa fao hilo

ukipiga hesabu vizuri yak kiasi utachokuja kupata baada yaku staafu utakuta ni WIZI MTUPU.
 
ukipiga hesabu vizuri yak kiasi utachokuja kupata baada yaku staafu utakuta ni WIZI MTUPU.

Hilo ni moja, ila la muhimu kwa nini mpaka ustaafu ndo upewe pension? Umri wenyewe mdogo huu, halafu usumbufu wa kwa wastaafu(familia ya msataafu) ndio kero kubwa!

Hivi ni kwa nini wasiwe na miradi ya kuwanufaisha wanachama kabla hajastaafu!

(NB: Mkopo sio msaada kwa mwanachama ni biashara kwao)
 
Back
Top Bottom