Msaada wa Peppermint oil

Matata25

Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
60
Reaction score
18
Habari za usiku wapendwa!Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima.Wadau mimi nipo Mwanza nina shida na mafuta ya peppermint oil,naomba kama kuna mtu anajuwa wapi yanauzwa anielekeze.Natanguliza shukran zangu na natumaini mtanisaidia ndugu zangu
 
Kuna mdada insta anajiita mamkenzo naturals yuko mwanza huyu.. mcheki atakua nazo au kama una ndugu dar basi akakuchikulie pale kariakoo maduka ya dawa za kisunna kwa abdu swamad
 
Kuna mdada insta anajiita mamkenzo naturals yuko mwanza huyu.. mcheki atakua nazo au kama una ndugu dar basi akakuchikulie pale kariakoo maduka ya dawa za kisunna kwa abdu swamad
Thanx nitamtafta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…