Msaada wa ramani ya nyumba

Msaada wa ramani ya nyumba

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
882
Reaction score
1,536
Sina uzoefu wowote katika ujenzi naomba msada wenu.

Nahitaji ramani ya nyumba iwe na vyumba vitatu ikiwemo masta moja jiko na dining pia kama ntapata fundi mzuri itapendeza, nawasilisha.

Location yangu ni DSM Mbezi Mwisho.
 
Karibu mkuu tutakufanyia kaz Kwa bei nafuu na kukupa ushauri bure,utachorewa ramani na huduma ya kujengewa call or Whatsapp 0757735884
Instagram
Highland _decor_solution
 
Back
Top Bottom