Nakushauri ujaribu kuongeza kiwango cha maji inaonekana mwanga wa jua ndio unaziathiri, pia mbolea ili kuongeza iyo kijani kwenye majani,vipi maua hayapukutiki?Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo.
Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
View attachment 2233654
View attachment 2233655
Mkuu nenda ofisi ya Kata shamba lilipo kuna afisa ugani wa kilimo.Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo.
Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
View attachment 2233654
View attachment 2233655
Hawa Watu wanakuwaga na mapozi sana huku kijij kwetu wapo na mapikipik yao bt ukiwafuata fulu kukuzungushaMkuu nenda ofisi ya Kata shamba lilipo kuna afisa ugani wa kilimo.
Mualike aje kuangalia atakushauri
Piga mimba mmoja.Hawa Watu wanakuwaga na mapozi sana huku kijij kwetu wapo na mapikipik yao bt ukiwafuata fulu kukuzungusha