Nashukuru kiongozi vyote vitakavyoletwa hapa ntavifanyia kazi asante sanaMkuu unatuangusha! kuna jamaa yangu mmoja kipindi cha magu maisha yalimchapa kinyama nyama biashara zake zilifeli ile buku ikawa shida ili familia isife njaa akaona akajisalimishe gereji.
Leo fundi mzuri tuu tena anatengeneza European car Audi, Volvo, Benz, BMW, Ford Ranger, Landrover na mengineyo. So usivunge magaraje yamejaa kibao omba tu kibarua usitangulize maslahi jitolee Mkuu utafanikiwa kupata zaidi ya uzoefu unaohitaji .
Jiandae muda huu uendeShukrani sana ntafanya hvyo mkuu