Msaada wa sheria: Aliyekuwa mwajiri unaweza kumshitaki kwa sheria gani

Msaada wa sheria: Aliyekuwa mwajiri unaweza kumshitaki kwa sheria gani

Mdanganywa

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2009
Posts
620
Reaction score
342
Tunatafuta jinsi ya kumsadia mwenzetu. Mkataba wake wa kazi uliisha miezi kadhaa. Lakini aliyekuwa mwajiri wake bado anaendelea kumpigia simu kumtaka afike ofisini kuchukua document hii au ile wakati yeye hana haja na hizo document.

Huyu mwajiri utamfungulia mashtaka kwa sheria gani maana sheria ya ajira haifaanyi kazi tena hapo maana uhusiano wa uajiri uliisha miezi mitano iliyopita.
 
Back
Top Bottom