Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hii Injiii, ama kweli akili ya Mtanzania huwezi kuíkuta Mahali popote hapa Duniani.
Naombeni mniitie Huyu Mkurugenzi msaidizi wa Ofisi ya Mashitaka.
Jamaa ambaye ni Msomi wa Sheria na kuaminika anasema Watuhumiwa wanashitakiwa Kwa makosa Mawili tu, Kubaka, Kuingiliwa kinyume na maumbile.
Hivi kumbe Kurekodi zile video na kuzisambaza sio Kosa? Kinachoendelea kumuathiri zaidi huyu Binti wa watu sio pamoja na video hizo?
Niitieni Waziri wangu Gwajima, Jembe, Chuma la nguvu aseme neno.
View: https://youtu.be/aGiC1ScFRqM?si=gkFSGg-enGCHIKSE
PIA SOMA
- Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
Naombeni mniitie Huyu Mkurugenzi msaidizi wa Ofisi ya Mashitaka.
Jamaa ambaye ni Msomi wa Sheria na kuaminika anasema Watuhumiwa wanashitakiwa Kwa makosa Mawili tu, Kubaka, Kuingiliwa kinyume na maumbile.
Hivi kumbe Kurekodi zile video na kuzisambaza sio Kosa? Kinachoendelea kumuathiri zaidi huyu Binti wa watu sio pamoja na video hizo?
Niitieni Waziri wangu Gwajima, Jembe, Chuma la nguvu aseme neno.
View: https://youtu.be/aGiC1ScFRqM?si=gkFSGg-enGCHIKSE
PIA SOMA
- Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza