Msaada wa sheria kuhusu mirathi

kng

New Member
Joined
Feb 18, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Baba wadogo wanahusikaje katika mirathi Ikiwa watoto wapo Na wanamsaidia mama mdogo alieishi Na baba miezi miwili Na baba kufariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba wadogo wanahusikaje katika mirathi Ikiwa watoto wapo Na wanamsaidia mama mdogo alieishi Na baba miezi miwili Na baba kufariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Kesi za mirathi kuna mambo/vitu vya muhimu ambavyo hujasema hapa ili uweze kupata ushauri sahihi kwani zina utaratibu wake tofauti na normal civil cases. Mambo/vitu hivyo ni pamoja na:-

1. "Je, marehemu alikuwa na imani gani wakati wa uhai wake hadi mauti inamkuta? (Lengo: kujua sheria ipi itumike kwani zipo sheria zaidi ya 3 na zote zinahusu mirathi.)

2. Je, Marehemu ameacha wosia ama hakuna? (Kisheria mtu anaweza kufa kwa namna mbili (i) testacy or (ii) intestacy (Lengo: kujua kama utaratibu wa sheria husika ndo utumike kama hakuna wosia. Kama kuna wosia basi wosia huo ndo utahusika na si vinginevyo.

ONGEZA MAELEZO ..........

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wosia una vigezo na masharti yoyote kisheria?
Kama yapo ni yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…