Msaada wa Sheria, nahitaji wakili.

Rene Jr.

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
3,714
Reaction score
2,376
Salaam wakuu.
Humu najua wanasheria wako wengi, nahitaji recommendation ya mwanasheria. Kesi ya mambo ya ardhi, ni complicated kidogo hivyo ningependa nipate mwanasheria mzoefu sana. Prominent lawyers, please.
Asanteni
 
Salaam wakuu.
Humu najua wanasheria wako wengi, nahitaji recommendation ya mwanasheria. Kesi ya mambo ya ardhi, ni complicated kidogo hivyo ningependa nipate mwanasheria mzoefu sana. Prominent lawyers, please.
Asanteni

Sawa, angalia "inbox" yako.

Kaka ...
 
Anaweza kuwa prominent lawyer lakini hafahamu vizuri sheria za ardhi. Kuna mawakili wachache hapa nchini ambao ni wataalam wa kesi za jinai, mirathi, na ardhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…