Ninakesi ya madai iko mahakama ya wilaya ilala,msimamizi wa mirathi ameuza kiwanja cha mirathi,baada ya kupeleka malalamiko mahakani anasema alishafanya mgawo wakati sio kweli,inventory anasema cop kapoteza na fail alilofungulia mirathi halopatikaniki mahakamani,naomba mnisaidie je baada ya msimamizi kufail inventory ndo fail linafungwa?,au hadi afail account?