Ndugu wanajamii huyu jamaa aliyeleta hoja yake hapa ni sahihi kabisa,Code of good practice,rule 2007,ipo kwa mimi ni HR Manager ninayo hapa ofisini kwangu ya "English version"pia ninayo ya kiswahili,ninaambatanisha hapa ya kiswahili iko kwenye PDF file,kama wewe unafanyakazi,hii itakusaidia kuelewa taratibu kama umeachishwa kazi kinyume na taratibu.Lakini wengi hamkuwa na taarifa kama ipo.
Hiyo rules ni vigumu sana kuipata Online, hata kwenye page ya wizara ya kazi na ILO haipo.kaka ninajaribu kuangalia siioni hiyo file hapa unaweza kunisaidia ndugu yangu NINA SHIDA NAYO SA. nime google wameniletea thread yako hii. msaada wako please.
Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani
0767 552 763Mi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani
Nitumie e mail yako0767 552 763
Mheshimiwa, naomba unitumie hiyo kitu kwenye email nitakayokuandikia kwenye PM, kisha nitajitahidi niiweke hapa, Tafadhali okoa jahazi
cheersNitumie e mail yako
Asante sana mkuu! Mungu akuongezee baraka kiongoziNimetupia code kwenye email yako
Nimetupia code kwenye email yako
Namba unitumie kwa email:dinajared35@yahoo.com nina shida nayo sana Hata mimiMi ninayo ya kiingereza ila kila nikijaribu ku share JF haitokei. Mafaili yanayo onekana ni whatsapp, blutooth sms, email n.K. Please anaeihitaji anitumie namba yake ya whatsapp au email. Au kama kuna mtaalamu anielekeze nifanyeji kuituma humu ndani