MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 429
Wadau naomba kuuliza endapo nimefanya kazi kwa mkataba miezi mitatu,na baada ya hapo nikaendelea kufanya kazi sasa mwaka na nusu bila mkataba na malipo yangu napokelea bank kila mwezi?na nikimuomba mwajiri anipe mkataba ananizungusha,je sheria inasemaje kuhusu hili?