msaada wa sheria

msaada wa sheria

Luthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
519
Reaction score
105
Wandugu naombeni msaada wenu kuna ndugu yangu alifunguliwa mastaka yakurusha pesa kesi ikaenda mahakamani tumepigwa tarehe kama mara tatu yane tukaambiwa uko huru hakuna kesi hapo leo hii huyo ndugu yangu kapigiwa simu na yule askari aliye mpelelezi wa polisi anasema tuende polisi kabla hajaja kumkamata msaada please
 
Wandugu naombeni msaada wenu kuna ndugu yangu alifunguliwa mastaka yakurusha pesa kesi ikaenda mahakamani tumepigwa tarehe kama mara tatu yane tukaambiwa uko huru hakuna kesi hapo leo hii huyo ndugu yangu kapigiwa simu na yule askari aliye mpelelezi wa polisi anasema tuende polisi kabla hajaja kumkamata msaada please

Lipeni hela ya watu kwanza! Vinginevyo mtaishia kutoa rushwa polisi na kesi itakuwa pale pale na laana juu
 
Back
Top Bottom