Msaada wa Shule nzuri ya A Level, michepuo ya Sayansi

Msaada wa Shule nzuri ya A Level, michepuo ya Sayansi

David Harvey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,894
Reaction score
6,020
Habari za mchana wakuu?natumaini wote ni wazima wa afya telee...wakuu nilikuwa naomba mnisaidie shule nzuri za private A-LEVEL kwa michepuo ya PCM NA PCB katika mikoa ya KILIMANJARO NA ARUSHA.nataka nimuamishe mdogo wangu amechaguliwa mtwara, anadai kuwa kuna walimu wawili tu na kuna uchache wa vitendea kazi katika maabara zao.alipata div 1:17 msaada wakuu
 
Back
Top Bottom