Msaada wa simu kufuta majina

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Simu inafuta majina (saved names). Je, hii inasababishwa na nini?
 
Tatizo la TECNO, ilinitesasana na sikuwahi kulipatia dawa
 
Bwana ushauri tunza namba katika email yako lakini ukiweka kwa line au simu zinajifuta lakini kwenye email wala mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…