Msaada wa Soft copy ya Rules za proceedings za marriage act.

Kufuru kubwa,kwamba kama sio mtoto wako ungekufa? Inaonekana huyo mtoto wako ni mungu wako, ndiye anaamua ufe au uishi.
Kwani ukienda hospital ndio wanaoamua ufe au upone? Jibu hilo kwanza...
 
Kufuru kubwa,kwamba kama sio mtoto wako ungekufa? Inaonekana huyo mtoto wako ni mungu wako, ndiye anaamua ufe au uishi.
Sisi tulioumwa corona tunajua handling iliyokuwa hospital wakati wa Magufuli. Acha sisis tusimulie, wewe hujui kitu maana you didi not come across that danger!
 
Asante, nilisoma course mbili tofauti ikiwa ni Pamoja na Law, lakini leo. Nadili na upande mwingine ikiwemo hiyo nyingine. Japo law niliipenda zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…