Msaada wa speed ya internet kwenye PC

Msaada wa speed ya internet kwenye PC

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2018
Posts
604
Reaction score
218
Habari ndugu zangu na shida moja kwanzia mitandao irud mimi kwangu speed ya internet kwenye pc ni ndugu saana haijalishi nitumie WIFI(SIMU) au moderm ila kabla ya hapo ilikuwa ina speed nzur tu tena zaid ya sanaaa ila baada ya michaguz yao speed hakuna kabisa
 

Attachments

  • Screenshot (40).png
    Screenshot (40).png
    110.7 KB · Views: 3
  • Screenshot (39).png
    Screenshot (39).png
    114 KB · Views: 3
Back
Top Bottom