Wababa13
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 105
- 70
Habari zenu wote,
Naomba kuuliza kwa mfano umekutana swali hili hapa “Eleza ni njia gani utatumia ili kufanikisha zoezi la uhesabiji wa SENSA linalo endeshwa kijijini/mtaani iwapo wananchi wameligomea?”.
Naomba msaada wa majibu ya swali hilo chukulia ndo wewe umekutana nalo kwenye interview ya kumtafuta Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa.
Nasubiria majibu yenu mazuri.
Naomba kuuliza kwa mfano umekutana swali hili hapa “Eleza ni njia gani utatumia ili kufanikisha zoezi la uhesabiji wa SENSA linalo endeshwa kijijini/mtaani iwapo wananchi wameligomea?”.
Naomba msaada wa majibu ya swali hilo chukulia ndo wewe umekutana nalo kwenye interview ya kumtafuta Afisa Mtendaji wa Kijiji/Mtaa.
Nasubiria majibu yenu mazuri.