Wadau nisaidie majibu tafadhari
1:Ni upi umri sahihi wa kutoka nyumbani kwa wazazi (Kwenda kujitegemea)...
2: Ni upi umri sahihi unaofaa na kupendeza ikiwa mtu anataka kufanya maamuzi ya KUOA mke.
3: Ni mwanamke wa aina gani anaefaa kuoa kwa mtu anaetafta maendeleo....
Msaada wenu tafadhari