MSAADA WA TABLET

mwilawi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
139
Reaction score
89
Naomba mwenye android tablet ambayo angalau ina sifa hizi aniuzie;
1. storage angalau 16 gb
2.ram angalau 3 au2 gb
3. processor atleast 2GHz
4. mtandao hata iwe na wifi tu
5. isiwe ya tecno
6.iwe used ila nzima
7. iwe ya inchi 7 au 8
Pia anomba ushauri zaaidi. Niko dom
 
Mi ninayo Amazon Fire Tablet

Ina storage 12
Ram 1
Inch 7

Mkononi tu nataka 80,000/=
 
Hizi used Fire tab ukivizia Unapata chini ya laki, Ukitaka mpya chini ya laki 2,

Amazon product ASIN B07FKR6KXF
$40 mpya plus usafiri ni chini ya laki 2, Tumia service ya ku forward bidhaa toka us Ama Mwl.RCT
 
Asante sana Chief. Umenisadia sana sasa nataka nifanye process ila HUDUMA YA KU FOWARD DIHAA TOKA US ndio ikoje
Service zipo nyingi sana Myus, ship and shop ya Aramex, kuna local companies za hapa etc.

Unanunua kitu Amazon unaweka address ya hao forwarding companies ambayo wanakupa then hio company inakuletea Tanzania.

Ukitembelea hizo site utaona maelezo zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…