Yaani wanaliita oysternut kwa kuwa umbo lake limefanana na oyster shell ya baharini - ukilikata/ukilivunja kiutaalamu linafunguka kama oyster shell...utamu wake ni kama wa karanga, ila zina mafuta sana...
kiosk ni neno la kiingereza ambalo limetumika kwa muda mrefu katika kiswahili lakini kwakuwa lugha hukua neno sahihi la kiosk kwa kiswahili ni KIBINDO.neno limezaliwa kwa kuchukua herufi za mwanzo yaani KI-kibanda cha BI-biashara,NDO-ndogondogo